simba na yanga itakuwa ni kama ndoto kutumia uwanjwa huu wa taifa
labda tusubilie round ya pili ya mzunguko wa ligi kuu tanzania bara
Jumanne, 15 Novemba 2016
ni moja ya jitihada za serikali ya awamu ya tano chini ya Rais JOHN POMBE MAGUFURI katika hatua za kuimalisha usafiri wa ndani ya nchi na nje ya nchi kwa wasafiri.